MUGAMBO(comed)
READING AGE 12+
MUGAMBO 35 anaishi na dada yake kipenzi sada ambae anasoma kidato Cha 4 sada anakutana na bint machachali Viki dada yake BATO na kumtongozea kaka yake ambae anaitwa BATO na VIKI akakubali badae viki aliwakutanisha huku BATO akiwa anaogopa ogopa wakizungumza vizuri nakukubari, viki bato wanaishi na mdogo wao anaitwa kalmu ambae yupo safari siku mojaa hasubuh bato aliamka akasimama mlangoniii nakuanza kuimba taarabu ndoo yamaji ikiwa mbele yake viki alikuta bato kaziba njia akampiga but bato akaangukia kwenye ndoo ile ya majii VIKI akaanza kumchekaa Bato akaenda bafuni kuoga kipindi anaenda kuoga akiwa anaoga akasikia viki akimwita nakumwambia kalmu kaja bato alitoka akiwa na mapovu nakujaa kumpokea , akiwa nyumban sada akimuwaza mpenzi wake anakuja MUGAMBO aliliona lile nakumkanya lakini sada anamjibu ovyo ovyo MUGAMBO alichukia na kumwambia atamtafuta huyo ambae anasababisha dada yake asisome vizuri , siku mojaa chakula nilikua kimeiva bato viki na kalmu wakiwa pamojaa bato aliwaambia wafumbe macho waombe bato alianza kuomba kalmu aliona mda unaenda na yeye ananja akala mbogaa bato kamaliza kusali na viki kufumbua macho wakamkuta mbogaa hamna kalmu akawaaambia sadaka itakua imekubalika , siku iliyo fuata bato akiwa ntaaani akakuta lafiki zake wamekaa yeye akaka katkaati na mgambo akiwa pembeni alivogusiwa kuusu mpenzi wake akaanza kujidai kujisifiaa bila kujua kua kaka take sada yupo pale baadae akaulizwa unamjua kaka yake sada aliendelea kujisifiaa baadae akaambiwa kaka yake ndoo huyo bato aliamka talatibuu hukuu akimwangalia MUGAMBO nae aliendelea kumwangalia kwa hasila bato alipotaka kukimbia MUGAMBO alimdaka shati bila mafanikio akabaki na shati tu la bato kumkimbiza hakumkamata siku
QQà iliyo fuata bato alikua amelala akiwa ameshika jwis kalmu alipomuona akachukua mlija wabiki nakuinywa jwizi yote akasema nani akakimbia bato anaamka akakuta jwis hamna akawa analalamikia kampun kutengeneza vitu fake
Unfold
Dear Reader, we use the permissions associated with cookies to keep our website running smoothly and to provide you with personalized content that better meets your needs and ensure the best reading experience. At any time, you can change your permissions for the cookie settings below.
If you would like to learn more about our Cookie, you can click on Privacy Policy.
Waiting for the first comment……