HEART PRISONl
Share:

HEART PRISONl

READING AGE 18+

WAKUNG'ARA EMPIRE Romance

0 read

katika ulimwengu moyo umekua kifungon kwakuvumilia shida na changamoto kwa mda mlefu Sana ABU NA FATU niwatu wenye mahusiano lakini ABU Hana furaha na uhusiano huo Kwan FATU Hana mapenzi ya kwelii kwa ABU ameshamfumania mala nyingi Sana FATU akiwa na mwanaume mwingine ilifikia hatua ABU akaamua kutafufa mchumba mwingine na aKawa nampango wa kufunga nae ndoa siku ilipofika ya ndoa ndoa ikiendelea gafra anatokea FATU akiwa analia ikabidi ndoa isimame kwa jinsi alivokua ABU anampenda FATU ikabidi ahailishe ndoa nakupanga sikunyingine ikabidi aondoke na FATU , FATU akamlazimisha waende nyumbani kwa ABU wakawa wamelala mpaka hasubuh FATU akamwahidi mambo mengi Sana ABU akaenda kwao ABU akampigia mchumba wakee nakumwa hawezi kumuowa tena SARA aliumia Sana nakumwambia dada yake akamwambia asimwambie mtu amtafute kwanza abu ili apate uwakika .Abu aliagana na FATU fatu akaenda kwao siku iliyo fata ABU alimpigia FATU sim lakin hakupokea aliendelea kumpigia Bila mafanikio usiku ulipofika aliamua kuitlack sim ya FATU akagundua yupo kwenye maeneo ya kanyenye kwenye ukumbi wa stalee akaenda akakuta FATU yupo na mwanaume mwingine FATU alimcheka Sana ABU nakumwagia bia huku akamwambia maneno ya shombo hapahapo sim ya ABU iliita kupokea huku akiwa nauzuni dada yake sala ndie Alie kua amempigia kuhusu ndoa iliyo simama kwa mda hatma yake ABU akamwambia ndoa ipo wafanye maandalizi yote ABU akaondoka pale huku akiwa nauzuni hasubuh alienda kufunga ndoa baada siku kadha FATU nae aligombana na mpenzi wake wakaa chana kumbe FATU alikua mjamzito na Mimba ile ilikua ya ABU siku waliyokutana nae usiku walishiliki Bila kinga ikabii amtafute ABU abu alikubali ule ujauzito lakin alimwambia n.mme wa mtu hawezi kuishi nae ila akitaka matumizia atamuhudumia Ayo maneno FATU alikataa mbele ya ZHAI mke wa ABU ZHAI nae alimshauli FATU akubali lakin FATU alikataa na akaamua kuondoa huku akisema asimtafute ZHAI aliingia ndani akachukua ela akaja akampa FATU akamwambia mda wowote akiwa na shida asisite kwenda lakin FATU aliondoka kwa hasila ABU na ZHAI wakaingia ndani))))) BAADA YA MIAKA ( 12) FATU alikua na mtoto wakiume anaitwa KILLY na alikua anafanyiwa shelehe ya kuzaliwa akiwa nalafiki zake FATU alikiwa ndani KILLY alimwita mamaaa yake fatu alikua ndani kunapicha MBILI kabandika sebuleni akizitazama kwa hasila zilikua za ABU na mke wake ZHAI alivo sikia anaitwa uku machozi yakimdondoka akazibandua picha akawa anaelekea kwenye shelehe yamwanae gafra alijikwaa akaanguka nakuita KILLY ,,, KILLY aligeuka akakuta mama yake kaanguka akamkimbilia shelehe ikawa imeishia hapo siku iliyo fata FATU alikiwa na mwanae amelala akiwa hohi alimwachia maneno magum ya kuwahusu FATU na ZHAI nakummezesha sumu kali yakuwachukia ABU na ZHAI ilionekana halimbaya akamwambia akamwite mjomba wake akamwendea walivofika akamwambia aende kwa baba yake lakin hasisahau kazi iliyo mpeleka kule akafaliki KILLY kwajili ya upendo wa mama yake akazimia alipozimia ,)))))) FATU aliamka nakampa maagizo Jon aliejiita mjomba wa KILLY , FATU akaondoka alivozinduka KILLY mjomba wake ISSA akamwambia ana siku 3 kwaiyo wameshazika na watu wamesambaa na akamwambia maneno yakumpandikiza chuki juu ya ABU na ZHAI akamwambia hana mda wakukaa pale ampekeke kwa baba yake wakwawa wameodoka mpaka kwenye Kabuli bandia la FATU akiwa KILLY ajui chochote akaliaga Kabuli nakuondoka Jon aligeuka akamuona FATU wakakonyezana nakuondoka FATU akiwa anawafata kwanyuma ISSA alimpeleka KILLY mpaka kwa baba yake ABU akamsontea nyumba ISSA akaondoka halaka hakutaka kuonekana
KILLY akiwa amesimama kwenye nyumba kubwa nzuri huku ameshika picha ya mama yake akikumbuka maisha magumu aliyokua anaishi na mama yake nyuma yake limakuja gari nakumpigia honi lakin hakusikia akaashuka alikua ni ABU nakumwagia bilakujua kua ni mtt wake alipo mwangalia Mtoto alikua analia alipo muuliza akachukua picha ya Mama yake akampa ABU kuangalia akamuona FATU akakuta yule nimwanae wakaingia nae ndani alivoingia ndani KILLY alimuona mwanamkee mmoja akakumbuka ndie aliyemuona kwenye picha ndie adui wa Mama yake mwanamkee huyo alikua mjamzito mke wa ABU ni ZHAI akamuona tena mtt wakiume SALLIM +11)akaja kmkumbatia baba yake akakuta yule pia niadui yake wa pili abu alimtambulisha na ZHAI na mwanae SALLIM walimpokea kwa furaha lakin KILLY aliku na mpango wake akiwa amekaa nje mdogo SALLIM akaja kumuongelesha KILLY alimsukuma nakumwambia maneno mabaya akaenda analia mpaka ndani akamuelezea mama yake alipo ludi kutoka kazi ABU nae alimuuliza

Unfold

Tags: BEfamilyopposites attractconfidentmafiadramano-coupleseriousdetectivehighschoolliescivilian
Latest Updated
Comment

    Navigate with selected cookies

    Dear Reader, we use the permissions associated with cookies to keep our website running smoothly and to provide you with personalized content that better meets your needs and ensure the best reading experience. At any time, you can change your permissions for the cookie settings below.

    If you would like to learn more about our Cookie, you can click on Privacy Policy.