MALI YA MKOLON
Share:

MALI YA MKOLON

READING AGE 4+

WAKUNG'ARA EMPIRE Fantasy

0 read

Mnamo mwaka wa 1961 ndio mwaka ambao Tanganyika ilipata uhuru kabla ya uhuru kolon la UINGELEZA ndilo koloni lililokua linatutawala na walitufanya watumwa wazee wetu walipata mateso yakila aina na wengine walipoteza maisha walibeba malizetu wenyewe tulizitafuta nawakazibeba kupeleka kwao tukiwa hatujui kama ni mali waingeleza walipata mali nyingii Sana na mafanikio makubwa ukanda huu wa AFRICAN MASHARIKI waingeleza hao baada yakusikia fununu kua marikia ERIZABETI. kafanya makubaliano na mwalim JULIAS KAMBALAGE NYERERE nakutoa amri waingeleza wote waludi nyumban wao ikabidi mali walizokua nazo waanze kubeba lakini zilikua nyingii mda mchache ikabidi zingine wazifiche watatafuta namna ya kuziijia hata wajukuu zao wakaweka ulimzi wakudumu alama na wakachola lamaani 2 mojaa wakachonga Sanamu wakaweka ndani yake wakaliweka kwenye PANGO na wakatengeneza lamaani nyingine yakufka kwenye PANGO lamaani nyingine wakaifadhi ili waondoke nayo wakawa wameacha vinyoka vidogo vidogo wakiwa namaana yaku kuweka kama ulinzi walikua naakili nyingii kuzidi sisi waliamini wazee wafrika niwaaminifu wakatengeneza mlinzi wakamchukua mzee mmoja wakampa zawad nyingii nakupeana viapo huo ulikua mwaka wa 1960 wakawa wameondoka kwakua wazee wa zamani wanaheshimu Sana viapo ata baada ya kutangazwa uhulu waliendelea kuwalindia mali na alipo kufa mzee huyo tayarii alikua kashamtengeneza mlinzi mwingine lakini jinsi siku zilivokua zinakwenda ndivo uelewa uliendelea kwavizazi baada ya kuzeeka akamlisisha mjuku wake anaitwa MUZUNGU aakilinda PANGO watu walihama kufata huduma za kijamii na katika Kijiji kikageuka msitu wakutishaa nakila watu wakienda kufanya utafiti jitu lilikua linaitwa muzungu liliwauwa na lamaani yakuwafikisha pangon analudisha pale pale kama walinzi waliopita walivyokua wanafanya nahayo maelekezo waliopewagwa na waingeleza hao ili siku wakiludi wasihangaike. SASA nimewaambia ili mkafatilie iyo mali nimeona nivunje kiapo kwakua sasa ivi tumeshajitambua napolini kunahatari kubwaa na mzungu awezi kuluhusu kuwaacha kapambane nae mshukue hiyo mali MAELEKEZO HAYO ALIKUA ANATOA MZEE CHONGOA AKIWA ANAKARIBIA KUFARIKI AMBAE PIA NAYEYE KATOKA KATIKA UKOO WA WALE WALINZI WA MALI YA MKOLON BAADA KUWAAELEZA AKAFARIKI, hayomaelezo walikua wanapewa vijana wawili wasomi ALI NA JOHN ikabidi waludi Ofisini mwao kuungana mwenzao SUZY kupanga namna ya kufanya baada yakukubalianaa SUZY na JHON na ALY ,Suzy akatoa maaoni kua watafute watu wenye tahaluma mbali mbali wawaliipe ili wakafanye kazi hiyo wakakubalia wakataftana vijana watu DIZZO yeye ni msomi nzuli walamani na majila pia ni mchesh IBU yeye tahaluma yake ni doctor pia anapenda kuimba kila aina ya nyimbo nimchechi pia SUMA yeye ni mwanajeshi aliefukuzwa kazi kwakumuua mwanajeshi mwenzake bila kukusudia yeye nijasili lakini nimuoga hizo ndizo tabia za hao vijana basi waliitwa Ofisi ya utafiti ikiongozwa na madam SUZY baada ya kukubaliana walipanga kufika Ofisin hasubuh na safari ianze ilipo fika hasbuh vijana walilipoti na wakapewa vitu vyote ikiwemo blutus silaa wakabeba chakula vifaa vya matibabu wakafungwa kamela ili Ofisi iwe inatazama matukio yote yatakayokua yanatokea gali liliwabeba mpaka sehem ya tukio wakashuka wakaelekea kwenye huo msitu wakutishaa wakiongozwa na kamanda SUMA wakielekea kwenye ule mti wachukue lamaani yakuwafikisha kwenye PANGO lile na maelekezo wakua wanapewa kutoka Ofisi ya utafiti ikiongozwa na madam SUZY walifika kwenye mtiwachukue lamaani yakuwafikisha pangon lakini kipindi wanashika Raman jitu la polini likafumbua macho nahapo likajua watu waneingia kikachuku shoka likaingia kazin waliona kazin nyepesi baada ya kupata ile Raman kumbe kazi ndo inaanza wakiwa wanaingia tu SUMA akakanyaga bomu alivowaambia wakakimbia Suzy akawaaambia wakamsaiidie wakuludi kumsaidia kutegua kuangalia vizuri kumbe ni mavi ya mnyama wakamcheka Sana nakuendele nasafali wanatoka na jitu linafika likaendele kuwafatilia liliwasumubua Sana walipata shida Sana walikamatwa na mitego huku wakikata taama na mawasiliano naofisini yakawa hamna lakini walikua wanawaona kupitia kamela ziliendea kuwaona Ofisini ilishindwa kuwasaidia kwaajili ya mawasiliano nao walipambana na jitu wakalishinda wakaingia pangon wakapata Raman wakiwa wamepotezana wakataftana wakajpata Ofsni walishangilia kwakupongezana vijana wakiwa hoi wakaanza safari yakuludi mjini jitu lilikata kamba lakn halikuwpata kz ya kwanza yakupata Raman ya mkolon wakawa wamefanikiwa jitu liliwafatilia kwanyuma bila mafanikio SUZY aliwaambia ALY NA JHON watumegali mapema kwenda kuwachukua baada yakuhisi jitu lipo nyuma yao gali likafika wanachukuliwa tu nagal wakiwa hoi jitu linafika linachelewa linaludu polini kwahasila ili lijipange upya, MPANGO WA KWANZA UNAKAMILIKA KUFANIKIWA KUPATA ILE RAMAN YA MALI YA MKOLON UNABAKI MPANGO WA PILI KWENDA KUFATA MALI

Unfold

Tags: familyserious
Latest Updated
Comment

    Navigate with selected cookies

    Dear Reader, we use the permissions associated with cookies to keep our website running smoothly and to provide you with personalized content that better meets your needs and ensure the best reading experience. At any time, you can change your permissions for the cookie settings below.

    If you would like to learn more about our Cookie, you can click on Privacy Policy.